Monday 24 June 2013

MAELFU YAMIMINIKA KUMZIKA MAMA MZAZI WA BARNABA(BI MARIAMU ARUBETH)







Mama yake Msanii Diamond akiwasili maeneo ya kigogo
msiba ulipokuwepo akiwa na
dada yake Diamond Esmah Khan....
Umati wa watu ukiwa umekusanyika nyumbani kwakina
Barnaba Boy Classic kutoa heshima za mwisho..!
Familia wakitoa heshima za mwisho.....!!

Ni huzuni na sintoamini utawala kipindi hiki inapofika kuagana
 mara ya mwisho na mpendwa wako...

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...