Tuesday 18 June 2013

BREAKING NEWzz: SUGU APATA AJALI YA GARI MUDA HUU ALIPOKUWA AKIELEKEA ARUSHA KUWAFARIJI WAHANGA WA MLIPUKO WA BOMU..!!

..Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi amepata ajali hivi punde katika eneo la kasheki wilayani Hanan'g akielekea Arusha mjini.

Joseph Mbilinyi maaru Sugu alikuwa akielekea Arusha mjini kuungana na wabunge wengine ktk shughuli ya kuaga marehemu
waliolipukiwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema, mwishoni mwa wiki iliyopita.
Katika ajali hiyo hakuna mtu yoyote amejeruhiwa, Mbunge huyo yuko salama, gari la Sugu limeharibiwa vibaya baada ya kugongana na basi la abiria.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...