Sunday 21 July 2013

YALIYOJIRI KWENYE HARUSI YA MSANII WA BONGO MOVIE LEO HII TAZAMA PICHA HAPA:



 
  Natasha akiwa  anawekwa gauni vizuri na mpambaji wa saluni ya Partners.
 
  Natasha akijiangalia kama yuko sawa.
  …Akitengenezwa vizuri na mtaalamu wa nywele kwenye saluni hiyo.
 
  …Akiendelea kupambwa vizuri.
 
  …Akiwa na mpambe wake Neema wakiwekwa vizuri.
 
  …Akiwa amepozi katika saluni hiyo.
 
  … Akiwa katika picha ya pozi na mpambe wake.
Muigizaji mkongwe wa tansia ya filamu hapa Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ leo hii amefunga ndoa  kwenye Kanisa la Mtakatifu  Joseph lilipo Posta jijini Dar na mume wake Alex Humbila .
Kabla ya kutinga kanisa kamera yetu ilimnasa Natasha katika suluni moja maarufu kwa kupamba mastaa mbalimbali hapa Bongo , Partners Wedding iliyopo Sinza  Mori akiwa anaandaliwa kwaajili ya kwenda kanisani. Kufunga

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...