Tuesday 11 June 2013

TAARIFA YA MMILIKI WA OFFICIAL WEBSITE BOSSNGASA.COM KUVAMIWA NA MAJAMBAZI

Taarifa ya wizi: Usiku wa kuamkia leo tar 11/6/2013 ndugu yenu Boss Ngasa  nimekutana na  Majanga baada ya kuvamiwa wezi nyumbani kwangu ninapoishi maeneo ya Arae D Dodoma: 

  Wezi hao waliovamia nyumbani kwangu ninapoishi walivunja geti kubwa la nyumba usiku wa manane na kufanikiwa kuingia ndani na kuiba Piki piki aina ya SUN LG T 126 BHN, piki piki ilikuwa imefungwa yani imelokiwa kwa hiyo kunauwezekano walikuwa wengi yani ni zaidi ya mmoja na kuibeba juu juu tena  kimya kimya bila mtu yeyote kushituka:
OMBI  kwa yeyote atakayeiona au mazingira yeyote ya pikipiki ya wizi ambaye haielewi tafadhali naomba atoe taarifa kituo cha police au awasiliane na mimi kupitia 0716 909567/ 0766 909567:
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...