Taarifa
ya wizi: Usiku wa kuamkia leo tar 11/6/2013 ndugu yenu Boss Ngasa
nimekutana na Majanga baada ya kuvamiwa wezi nyumbani kwangu ninapoishi
maeneo ya Arae D Dodoma:
Wezi hao waliovamia nyumbani kwangu ninapoishi walivunja geti kubwa la nyumba usiku wa manane na kufanikiwa kuingia ndani na kuiba Piki piki aina ya SUN LG T 126 BHN, piki piki ilikuwa imefungwa yani imelokiwa kwa hiyo kunauwezekano walikuwa wengi yani ni zaidi ya mmoja na kuibeba juu juu tena kimya kimya bila mtu yeyote kushituka:
OMBI kwa yeyote atakayeiona au mazingira yeyote ya pikipiki ya wizi ambaye haielewi tafadhali naomba atoe taarifa kituo cha police au awasiliane na mimi kupitia 0716 909567/ 0766 909567:
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Wezi hao waliovamia nyumbani kwangu ninapoishi walivunja geti kubwa la nyumba usiku wa manane na kufanikiwa kuingia ndani na kuiba Piki piki aina ya SUN LG T 126 BHN, piki piki ilikuwa imefungwa yani imelokiwa kwa hiyo kunauwezekano walikuwa wengi yani ni zaidi ya mmoja na kuibeba juu juu tena kimya kimya bila mtu yeyote kushituka:
OMBI kwa yeyote atakayeiona au mazingira yeyote ya pikipiki ya wizi ambaye haielewi tafadhali naomba atoe taarifa kituo cha police au awasiliane na mimi kupitia 0716 909567/ 0766 909567:
No comments:
Post a Comment