Wednesday 26 June 2013

SOMA HAPA KUJUA TATIZO LINALOMSUMBUA BEYONCE:


Mwanamuziki Kelly Rowland ambaye ni mmoja miongoni wa wadada wanaounda kundi la Destin Child ametoa ya moyoni kitu kinachomkera ambacho Beyonce anacho kuwa ni uvivu na uzembe

Akizungumza katika mahojiano maalumu Kelly alisema kuwa Beyonce anamambo mengi na anajua vitu vingi lakini suala la uvivu ndilo linamsumbua


Kelly aliweka wazi kuwa anamjua Beyonce muda mrefu kutokana na kufanya naye kazi na anajua uwezo wake wa kazi ingawa hataki kujituma zaidi ya hapo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...