Mkono wa Fikiri Haus 13 uliounguzwa unavyo onekana kwa 
karibu huo ni ukatiri ulio kithiri 
Mtoto Fikili Hausi Mwanafunzi wa Darasa la Tatu Shule 
ya Msingi ya Majengo Mansipaa ya Songea akiwa amelazwa Hospitali ya Mkoa baada 
ya Kunguzwa Moto na Mama yake.
Jeshi la Police lina endelea kumtafuta mama yake Fikili 
Hausi
 

No comments:
Post a Comment