Single Mtambalike ‘Richie’.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar, Richie alisema kulikuwa na mfumo mbovu wa jinsi ya kutumia pesa.“Kuna mazuri tulifanya pia mabaya yapo hususan mfumo mbovu wa jinsi ya kutumia pesa, kiongozi yeyote aliweza kuchukua pesa bila kuhojiwa na hata mimi nilikuwa natumia vibaya,” alisema Richie.
No comments:
Post a Comment