Sunday 26 January 2014

MAUNGO YANGU YA MWILI YANANIPA TABU,NATONGOZWA KILA KUKICHA


Ninakutana na vishawishi vingi kila siku, yani sina amani kila mwanaume anatamani anione nilivyo nikiwa mtupu, tena wanakuja kwa njia za pesa na magari lakini namuheshimu mume wangu. Wanawake wenzangu tujiheshimu hata kama unajijua wewe ni mzuri kama malaika muheshimu mpenzi wako usitumie kigezo cha uzuri wako kumdharau mpenzi wako na kumletea nyodo. Mmenipa
taaa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...