Monday 24 June 2013

DU!!! HII NAYO KALI JAMAA AZAMA KWENYE MTORO WA MAJI MACHAFU BAADA YA YEBO YEBO YAKE KUDUMBUKIA HUMO:

Baadhi ya wakazi wa jiji wakimuangalia mtu ambaye hakufahamika jina aliyekuwa akitafuta kiatu kilichotumbukia katika mfereji wa majitaka, kama alivyokutwa Ubungo, Dar es Salaam juzi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...