Hivi katika hali ya kawaida kabisa huyu jamaa mwana FA anatafuta nini
kwa dada yetu Jide? Jide mara ya kwanza show yake alipanga may 31 na
mwana FA naye kapanga tarehe hiyo hiyo,waungwana tukasema labda imetokea
hivyo tu kwa bahati mbaya!! Kutokana na kifo cha Ngwea....tarehe
ikapangwa upya!! Sasa Jide kapanga tarehe 14 June eti na jamaa naye
kapanga tarehe hiyo hiyo!!! Ana matatizo gani huyu jamaa asee!!!!! kama
anatumiwa basi anatumiwa vibaya sana na anachemka...mwanaume mzima
unashindana na mwanamke!!!!! Arrrrghhhhhhhh
Source: Jamii Forums
Source: Jamii Forums
No comments:
Post a Comment