Friday 7 June 2013

ANGALIA PICHA YA MWILI WA MUME WA MALKIA WA MIPASHO YA TAARAB, KHADIJA KOPA ULIPOKUA UKIPELEKWA KUZIKWA

Wakazi wa mtaa wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mume wa Khadija Kopa, Jafary Ally ambaye ni Diwani wa CCM kata ya Magomeni wakati wakielekea makaburi kwa ajili ya shughuli za mazishi.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...