Friday, 12 July 2013

IRENE UWOYA AFUNGUKA BAADA YA SIRI KUVUJA KULIWA URODA NA DIAMOND PLATNUM

Kufuatia kuripotiwa kwa habari "kali" sana iliyopewa kichwa "DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!" leo kuhusu mwanadada Irene uwoya na Msanii wa kizazi kipya Diamond platnumz leo na mtandao wa Global publishers, hatimaye Irene Uwoya alichukua dakika kadhaa kuandika hichi alichokiandika hapa chini....
 “Kuna saa najiuliza kwanin ukimwamin mtu ndio anageuka...kwanin ukiwa muwaz watu wanakuchukulia vbaya? Leo nimeumia sanaaa kuliko skuzote...sijaamini mtu niliye mwamini kumuona kama rafiki yangu anaweza kuongea shit kuhusu mim...au najiuliza siruhusiwi kuwa na rafik wa kiume? Lakin sa nyingine nakaa chin nasema God ...u know me better” MCHUNGUZI wa mambo anasema maneno hayo ni kutokana na kile alichokiona kama ni usaliti wa namna fulani toka kwa rafiki yake wa karibu (Jina kapuni) kuamua kumuanika hadharani mdada huyo wa bongo movies Kama hukupata nafasi ya kuisona habari hiyo toka kwenye mtandao wa global publishers basi isome hapa kama tulivyoinukuu toka mtandao huo....

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0BvJVHqXHUNApMBjbsnvyDHYCzIPcohgCPIgjYczzk6_MS5Ldb9HAtlRoR4M-SlQ8aVlmqzkaB6oAa8EztlSpMMIUp69O_67R7MIoLIvHv3ItNT0kMwXUG-IjjUbTOxa-dX3Nuiu04Om6/s640/uwoya21.jpg


 
""SIRI nje! Lile skendo la Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kudaiwa kulala na mwigizaji Irene Uwoya ambaye ni mke wa ndoa wa mwanasoka wa Rwanda
http://filamucentral.co.tz/wp-content/uploads/2012/06/iren530.jpg

Hamad Ndikumana ‘Kataut’ limevuja. KISA KAMILI Huku akijua kabisa kuwa ataibua zogo kwa kuwa Uwoya ni mke wa ndoa wa mtu, kwa mara ya kwanza, Diamond ameamua kuanika kisa kilichomfanya kujiweka kwa muda kwa Uwoya. Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika cha gazeti hili, kilichomfanya Diamond kufikia hatua ya kumtongoza na kutoka naye kimapenzi, ni kitendo cha Uwoya kutoa  maneno ya kumponda huku akionesha waziwazi hali ya kumchukia kila walipokutana.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...