Wednesday, 22 May 2013

TIMU YA VIJANA KUOGELEA YANG´ARA NCHINI KENYA


Timu ya Tanzania ya kuogelea ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kupewa kikombe cha mshindi wa Tatu jumla kwa kupata alama 230.
Timu ya vijana kutoka Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na makocha wao wakiwa nyuma.
Nahodha wa Timu ya Taifa ya kuogelea,Sonia Tumioto (katikati) akiwa na bendera ya Tanzania baada ya kupokea zawadi ya kikombe cha mshindi wa kwanza kwa wanawake.

Timu ya vijana ya kuogelea kutoka Tanzania imefanya vizuri katika mashindano yaliyoshirikisha timu 20 kutoka ukanda huu wa Afrika Mashariki na mashindano hayo kufanyika jijini Nairobi kuanzia tarehe 17 hadi 19 May 2013 katika shule ya Aga Khan. Washiriki wa mashindano hayo walitoka katika nchi za Tanzania, Kenya, na Uganda ambazo kila mmoja alitaka kumshinda mwenzake.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...