hii shopping ilikuwa ya kuwapongeza wafanya kazi wa kampuni
yangu
nishaz film production kwa kumaliza vizuri filamu yangu ya
''tikisa''
ambayo itatoka mwisho wa mwezi huu naomba mashabiki
wangu wakaemkao wa
kula na hiyo shopping nimefanya kwenye
duka la ''hussen pamba kali''
lililoko maeneo ya
kinondoni, Kwa
kweli nna imani kazi hii ikitoka wadau wangu wataifuhia
kutoka na
ubora wake, Nimeifanya kibunifu zaidi na mbali na hivyo
nimeifanya
kwa gharama ya juu na nilitumia muda mrefu kuitengeneza pia
kabla
sijaifanya nilikaa chini na watu kadha
wa kadha wenye uelewa wa
kutengeneza movie nikasikiliza maoni yao
kuhusiana na kazi hii,
kwa hio sina wasi wasi nayo kabisa mashabiki
wangu isubirieni kwa
hamu kwani imesheni mastar kibao wenye uwezo mkubwa
wa
kuigiza bila kusahau wachekeshaji nguli hapa nchini pia wamo.
|
No comments:
Post a Comment