Wednesday, 15 May 2013

CHEK FAMILY DAY BAADA YA MWANA DADA ANGELINE JILIE KUFANYIWA UPASUAJI WAKUONDOA MATITI YAKE

Ikiwa leo ni siku ya familia,hiyo ni picha ya familia nzima ya Mwigizaji maarufu Angeline Jolie ambaye toka juzi,uamuzi wake wakutangaza kukatwa matiti ili kuzuia saratani umewashtua wengi.Akiwa na watoto wake 6,3 aliozaa na mume wake Brad Pitt,na wa3 amewaasili.Inafurahisha baada ya Angeline Jolie kusema kuwa mume wake alikuwa nae kipindi chote cha upasuaji.
Heri ya siku ya familia!
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

1 comment:

  1. Mmmh! Hii ni ajabu xana Realy sjapenda! Cauz ni moja kati ya acters niwapendao.

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...