Nina mwili wa kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini,
kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani
nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama z
isitingishike lakini haisaidii. Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakinibado tatizo liko palepale. Nisaidieni
No comments:
Post a Comment