Sunday, 2 June 2013

WATU WATATU WAFARIKI KWA KUDONDOKEWA NA UKUTA HUKO PEMBA...!! .... ONA PICHA ZAIDI ZA HALI ILIVYOKUWA

Wananchi wakiuangalia mnara wa tangi la maji ulioanguka na kupoteza maisha ya wananchi watatu leo asubuhi Picture

Picture
Mwili wa mmoja wa marehemu ukishushwa kutoka katika mnara huo.


Picture
Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Kisiwani Pemba, wakiwa katika zoezi la kutoa miili ya marehemu waliopoteza maisha katika ajali ya kuangukiwa na ukuta wa tanki la maji eneo la Machomanne Chake Chake Pemba leo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...